Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amepiga
magoti na mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na Waumini wengine wa Kanisa la
Waadventista Wasabato Ushirika wa Magomeni Mwembechai katika Ibada ya Jumamosi
kanisani hapo jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakiimba nyimbo
katika ibada hiyo ya Jumamosi katika Kanisa la Waadventista Wasabato Ushirika
wa Magomeni Mwembechai jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakisikiliza neno
katika Ibada hiyo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisoma neno
pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli kanisani hapo wakati wa Ibada ya jumamosi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amepiga
magoti pamoja na mkewe Mama Janeth
Magufuli wakati wakiombewa sala na
Maaskofu wa Kanisa hilo la Waadventista Wasabato, Sala iliyokuwa ikiongozwa na
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Kusini mwa Tanzania Marc Walwa Malekana(wa kwanza
kushoto)
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
waumini wa Kanisa la Waadventista la Wasabato Ushirika wa Magomeni
Mwembechai kabla ya kuendesha Harambee
ya Ujenzi wa kanisa hilo ambapo zaidi ya Sh. 25milioni ziliahidiwa kukusanywa.
Waumini
mbalimbali wa Kanisa hilo wakiwa ibadani kama wanavyoonekana pichani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
Mama Navana Cable aliyeambatana na mtoto
wake Rebecca Cable ambao familia yao imeahidi kumalizia ujenzi wa Kanisa
hilo la Waadventista la Wasabato mara baada ya Rais Dkt. Magufuli kuendesha
Harambee ya Papo kwa papo Kanisani hapo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza
Mhariri Mtendaji waMagazeti ya Serikali (TSN) Dkt. Jim Yonaz mara baada ya
kuahidi kuchangia katika kanisa hilo.
Waziri
Mstaafu katika awamu iliyopita Steven Wasira naye akichangia katika Harambee
hiyo Kanisani hapo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
Ndugu Dkt. Edward Hosea mara baada ya kuchangia katika ujenzi wa kanisa hilo la
Wasabato lililopo Magomeni.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimshika
mkono mtoto ambaye alikua anamsalimia wakati akitoka ibadani katika kanisa hilo
la Magomeni.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe
Mama Janeth Magufuli wakati wakikabidhi mifuko 400 ya Saruji itakayotumika
katika ujenzi wa Kanisa hilo la Wasabato la Magomeni Mwembechai jijini Dar es
Salaam.
PICHA
NA IKULU














0 Comments