Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akimsikiliza Mkurugenzi
Mkazi wa Shirika la Misaada la Marekani (USAID) nchini, Bw. Andrew Karas alipomtembelea
ofisini kwake leo kuzungumzia masuala ya kiutumishi na utawala bora.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Angellah J. Kairuki (Mb) akijadili
masuala ya kiutumishi na utawala bora na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Misaada
la Marekani (USAID) nchini, Bw. Andrew Karas alipomtembelea ofisini kwake leo.


0 Comments