RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na
wakijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar katika Sala ya
Kuuombea Mwili wa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi Serikali Zanzibar
Marehemu Othman Bakari,dua ikisomwa na Sheikh Fadhil Soraga katika
Masjid Shurba kidingochekundu Zanzibar na kuzikwa katika makaburi ya
mwanakwerekwe
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, akiweka mchanga katika kaburi la mareheme Othman Bakari,
aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi Serikali Zanzibar, maziko hayo
yamefanyika katika makaburi ya mwanakwerekwe Zanzibar.
(Picha na
Ikulu),


0 Comments