Miili ya wanajeshi 14 wa Tanzania
imewasili katika uwanja wa ndege wa Jeshi la wananchi JWTZ, Novemba 11, 2017 jijin Dar es Salaam.
Miili
imewasili kupitia ndege ya UN,Wanajeshi wa JWTZ uwanjani tayari kupokea miili
Wapo maafisa waandimizi wa wizara ya ulinzi akiwemo waziri wa ulinzi Dr Hussein
Mwinyi



0 Comments