Random Posts

Serikali imetoa siku Saba kwa Mgodi wa Dhahabu wa ZEM (T) Company Ltd


Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (kushoto) akitoa maelekezo kwa Mgodi wa Dhahabu wa ZEM Tanzania Company Limited alipofanya ziara mgodini hapo kujionea shughuli ziazoendelea na kuzungumza na wafanyakazi na wananchi wanaozunguka mgodi huo. Kulia ni Meneja wa Mgodi, Luo Guiquan.
Angalia Video chini.

Post a Comment

0 Comments