Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile katikati akipata maelezo kutoka kwa mmoja
ya mtumishi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii cha Tengeru
(TICD) wakati alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani arusha.
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la vyumbavyumba akikagua na kutoa
maelekezo juu ya upatikanaji wa dawa katika baadhi ya vituo vya afya katika
Wilaya ya Meru wakati wa ziara yake mkoani Arusha.
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la vyumbavyumba akikagua na kutoa
maelekezo juu ya upatikanaji wa dawa katika baadhi ya vituo vya afya katika
Wilaya ya Meru wakati wa ziara yake mkoani Arusha.
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile kulia akiongea na baadhi ya wanakijiji wa kata
ya Mbuguni wilayani Meru wakati wa ziara yake mkoani Arusha.
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile wa pili kulia akisikiliza maelezo kutoka kwa
Mganga Mkuu wa Wilaya ya Meru Dkt. Cosmas Kilasara wa kwanza kulia kwenye moja
ya jengo la Hospitali ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha.
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile aliyevaa shati la vyumbavyumba akiwajulia hali
baadhi ya wagonjwa katika vituo vya afya
katika Wilaya ya Meru wakati wa ziara yake mkoani Arusha.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Tengeru
TICD wakitoa changamoto na maswali kwa Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya
jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile hayupo pichani wakati
alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani Arusha.
Baadhi ya Watumishi wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Tengeru
TICD wakimsikiliza kwa makini Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia
,Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile hayupo pichani wakati alipotembelea
chuo hiko katika ziara yake mkoani Arusha.
Naibu Waziri Wa afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia ,Wazee na
Watoto Dkt. Faustine Ndugulile katikati akionyeshwa mpaka wa Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Tengeru TICD
wakati alipotembelea chuo hiko katika ziara yake mkoani Arusha.
PICHA NA ALLY DAUD-WIZARA YA AFYA











0 Comments