Random Posts

Majaliwa Awasili Mkoani Lindi

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi mara baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege  wa Nachingwea kuanza ziara ya kazi mkoani Mtwara Februari 26, 2018. 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

0 Comments