Waziri wa
Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni
(mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) akiwa katika kikao na ujumbe kutoka Idara
ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID) nchini Tanzania,
ofisini kwake Februari 22, 2018 jijini Dar es Salaam.
Kiongozi wa Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID) nchini
Tanzania, Bi. Beth Arthy akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapteni (mstaafu) Mhe.
George Mkuchika (Mb) hayupo pichani wakati wa kikao jijini Dar es Salaam.
1.
Kiongozi wa ujumbe kutoka Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Uingereza (DfID)
nchini Tanzania, Bw. Nicholas Leader akiwa katika kikao na Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Kapteni (mstaafu) Mhe. George Mkuchika (Mb) hayupo pichani, ofisini kwake jijini Dar es Salaam.




0 Comments