Random Posts

Maoneysho ya makampuni ya Bima yafanyika Jijini Dar es Salaam Mlimani City

Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Usimamizi wa Bima wa Mamlaka  ya Bima Tanzania (TIRA) akizungumza wakati alipotembelea banda Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwenye maoneysho ya makampuni ya Bima nchini yaliyofanyika Machi 28,2018 Mlimani City Jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Taasisi ya Bima Tanzania (IIT), kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Makampuni ya Bima Tanzania (ATI) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga na kulia ni Afisa Bima Mwandamizi wa NIC Konjeta Mwaipopo.

    Mwenyekiti wa Umoja wa Makampuni ya Bima Tanzania (ATI)  ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Sam Kamanga akizungumza jana wakati wa mkutano wa wadau wa bima nchini ulioandaliwa na Taasisi ya Bima Tanzania (IIT), mkutano huo ulifanyika Machi 28, 2018 Mlimani City Jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

0 Comments