Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa
Wizara ya Maji na Umwagiliaji wakisikiliza mada katika kikao kilichofanyika Machi
28, 2018 Dodoma.
Katibu Mkuu, Wizara ya Maji na Umwagiliaji,
ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Prof. Kitila Mkumbo (kulia),
pamoja na wajumbe wengine, akifuatilia mada wakati wa kikao cha Baraza la
Wafanyakazi Machi 28, 2018 Dodoma.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya
Maji na Umwagiliaji wakisikiliza utekelezaji wa mpango wa wizara Machi 28, 2018
mkoani Dodoma.
0 Comments