Home
Contact
Random Posts
Home
HABARI
SIASA
BIASHARA
MICHEZO
BURUDANI
AFYA
ELIMU
UREMBO
Home
HABARI
Majaliwa Asalimiana na Aliyewahi Kutumia Dawa za Kulevya na Sasa Kaacha.
Majaliwa Asalimiana na Aliyewahi Kutumia Dawa za Kulevya na Sasa Kaacha.
Mtazamomedia blog
April 05, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Marine Mutongore ambaye awali alikuwa akitumia dawa za kulevya na sasa ameacha baada ya kupata matibabu na msaada katika Nyumba za Upataji Nafuu (Sober House). Kijana huyo ni mmoja wa wageni walioingia bungeni kumsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasilisha hotuba kuhusu mapitio na mwelekeo wa kazi za serikali na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2018/2019, bungeni mjini Dodoma Aprili 4, 2018.
(
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post a Comment
0 Comments
Social Plugin
Featured Post
HABARI
DKT. MWIGULU AAGIZA TAKUKURU ICHUNGUZE MIANYA YA WIZI KILINDI, HANDENI
Mtazamomedia blog
February 14, 2026
*Ataka uchunguzi ununuzi wa vifaa vya ujenzi hospitali ya Wilaya Kilindi Waziri Mkuu D…
Popular Posts
Rais Magufuli Azindua Jengo Jipya la Tawi la CRDB Wilayani Chato
March 09, 2018
DKT. SAMIA AKIHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI KIBAHA MKOA WA PWANI
September 28, 2025
Majaliwa Awasilisha Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
April 05, 2018
0 Comments