Random Posts

Matukio Katika picha Michezo ya Tamasha la Pasaka

Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya TPB Sabasaba Moshingi akisalimiana na wachezaji wa timu za wavu za Vyuo vya Mafunzo Zanzibar na Magereza Ukonga, kabla ya kufungua rasmi michezo ya Tamasha la Pasaka linalozihusisha timu hizo hapo Machi 1, 2018. Nyuma yake ni Naibu Kamishna wa Magereza, Gideon Nkana. 

Post a Comment

0 Comments