Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiweka jiwe la msingi mfumo wa usimikaji wa Rada katika viwanja vinne
vya ndege (Mwalimu Julius Nyerere-Dar es Salaam, Mwanza, KIA-Kilimanjaro
na Songwe katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa
wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA IKULU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa amewashika mikono marubani wawili waliokuja na ndege hiyo mpya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli, viongozi mbalimbali wa dini na
Serikali akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ndege Ndege mpya ya Shirika
la ndege la ATCL aina ya Bombardier Q400 mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Ndege mpya ya Shirika la ndege la ATCL aina ya Bombardier Q400
ikiwa imeegeshwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere.
Ndege mpya ya Shirika la ndege la ATCL aina ya Bombardier Q400
ikiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere huku
ikipewa heshma ya kumwagiwa maji(water salute) mara baada ya kutua.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli watatu kutoka kulia, pamoja na
viongozi mbalimbali wa dini, viongozi wa Serikali wakipiga makofi wakati
wakiipokea Ndege mpya ya Shirika la ndege la ATCL aina ya Bombardier
Q400 mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli, viongozi mbalimbali wa dini na
Serikali akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ndege Ndege mpya ya Shirika
la ndege la ATCL aina ya Bombardier Q400 mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.









0 Comments