Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob
Oulanyah (kulia) akisalimiana na Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya
Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Demetrius Mgalami (wa pili kushoto)
kabla ya ujumbe ulioongozwa na Katibu huyo kuzungumza nae ofisini kwake Bungeni
Mjini Kampala. Kushoto ni Wakili Dunford Mpelumbe, Afisa wa Chama hicho Tawi la
Afrika
Wajumbe wa Sekretarieti Chama cha Mabunge ya
Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, waliongozwa na Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama
cha hicho Ndg. Demetrius Mgalami (kulia) mara baada ya ujumbe wa Katibu Mkuu
Msaidizi wa Chama Kanda ya Afrika ulipomtembelea Mhe. Naibu Spika wa Bunge la
Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (hayupo kwenye pichani) na kufanya nae mazungumzo Ofisini
kwake Bungeni Mjini Kampala
Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya
Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Demetrius Mgalami (kulia) akizungumza
pale alipomtelea Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah (hayupo kwenye
pichani) ofisini kwake Bungeni Mjini Kampala. Kushoto ni
Wakili Dunford Mpelumbe, Afisa wa Chama hicho Tawi la Afrika.
Naibu Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob
Oulanyah (wa pili kulia), Mbunge wa Bunge la Uganda na Mweka Hazina wa Chama
cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Mhe. Elijah Okupa (kulia),
Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika Ndg. Demetrius Mgalami (wa pili kushoto) na
Wakili Dunford Mpelumbe (kushoto) afisa wa Chama hicho Tawi la Afrika wakiwa
katika picha ya pamoja mara baada ya ujumbe wa Katibu Mkuu Msaidizi wa Chama
Kanda ya Afrika kumtembelea Mhe. Naibu Spika na kufanya nae maongezi Ofisini
kwake Bungeni Mjini Kampala.
(PICHA
NA OFISI YA BUNGE)




0 Comments