Subscribe Us

header ads

Naibu Spika Aongoza Waheshimiwa wa Bunge Kutoa Heshima za Mwisho kwa Mwili wa Aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Kasuku Bilago

 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza  wakati wa tukio la kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma. Mara baada ya tukio hilo mwili huo ulisafirishwa kwenda Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago. Mara baada ya tukio hilo mwili huo ulisafirishwa kwenda Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.
  Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiweka shada la maua  wakati wa kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Buyungu Marehemu Mwl. Kasuku Bilago. Mara baada ya tukio hilo mwili huo ulisafirishwa kwenda Wilayani Kakonko, Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.
PICHA NA BUNGE

Post a Comment

0 Comments