Random Posts

Naibu Spika, Dkt. Tulia azungumza na baadhi ya wanachama wa chama cha viziwi tanzania ofisini kwake jijini Dodoma.

 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akisalimiana na Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (kulia) walipomtembelea  Mei 23, 2018 Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akimsikiliza Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (kulia) walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
 Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akizungumza na Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (kulia) walipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Chama cha Viziwi Tanzania wakiongozwa na Mlezi Chama cha Viziwi Tanzania, Ndg. Hashim Ismail (wa pili kulia) walipomtembelea  Ofisini kwake Jijini Dodoma.

(PICHA NA DEONISIUS SIMBA - OFISI YA BUNGE)

Post a Comment

0 Comments