Subscribe Us

header ads

Spika Ndugai Afika Kuwasabai Wafiwa na Kutoa Heshima za Mwisho Katika Msiba wa Marehemu Kasuku Bilago.

 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiwasabai watoto wa marahemu, Kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto)akimfariji Mke wa marehemu Ndg. Pietha Bisangwa Bilago leo Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiteta jambo na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe (kulia) katika msiba wa marehemu, Kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE
 Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa heshima za mwisho nyumbani kwa marehemu Kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waheshimiwa Wabunge, ndugu, jamaa na marafiki waliofika nyumbani kwa marehemu kasuku Bilago Wilayani kakonko Mkoani Kigoma.

Post a Comment

0 Comments