Subscribe Us

header ads

Waziri Kamwelwe (Mb) asaini mkakati unaogusa uendelezaji na utunzaji wa rasimali maji barani Afrika.

 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb),  wa pili kushoto, akisaini mkakati kuhusu uendelezaji na utunzaji wa rasimali maji barani Afrika ofisini kwake .
 Katibu Mtendaji wa Baraza la Mawaziri wa Maji Barani Afrika (AMCOW) Dokta Canisius Kanangire, (kushoto) akishuhudia Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb) akisaini mkakati kuhusu uendelezaji na utunzaji wa rasimali maji barani Afrika ofisini kwake. 

1.    Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe (Mb),  kushoto, akifuatiwa na Katibu Mkuu, Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitika Mkumbo, pamoja na wajumbe waliohudhuria kikao kutoka Baraza la Mawaziri wa Maji Barani Afrika (AMCOW).

Post a Comment

0 Comments