Subscribe Us

header ads

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Afungua Semina Endelevu ya 29 ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi Jijini Dodoma

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Semina Endelevu  ya 29 ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 18, 2018.
Waziri wa ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza wakati wa semina hiyo.
 Kaimu Msajili wa  Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi  Qs. Albert Munuo akizungumza wakati wa semina Endelevu  ya 29 ya Bodi hiyo iliyofanyika kwenye  ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 18, 2018.
 Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) Dkt.Ludigija Bulamile akisoma hotuba yake  wakati wa semina Endelevu  ya 29 ya Bodi hiyo  iliyofanyika kwenye  ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 18, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea ngao ya shukurani kutoka  kwa Mwenyekiti  wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi, Dkt. Ludigija Boniface Bulamile baada ya kufungua semina Endelevu ya 29 ya Bodi hiyo  kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma,
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha ngao ya shukurani mara baada kupokea kutoka kwa  Mwenyekiti  wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi, Dkt. Ludigija Boniface Bulamile baada ya kufungua semina Endelevu ya 29 ya Bodi hiyo  kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma,
 Baadhi ya washiriki wa   Semina Endelevu  ya 29 ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipofungua semina hiyo kwenye ukumbi wa Hazina jijini Dodoma, Mei 18, 2018
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuashiria makabidhiano ya mashine 10 za kufyatulia matofali  zilizotolewa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi kuunga mkono ujenzi wa majengo bora Jijini Dodoma wakati wa Semina Endelevu  ya 29 ya Bodi hiyo.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua za kufwatulia matofali zilizotolewa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi kuunga mkono ujenzi wa majengo bora Jijini Dodoma wakati wa Semina Endelevu  ya 29 ya Bodi hiyo
Muonekano wa mashine zilizotolewa na Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi kuunga mkono ujenzi wa majengo bora Jijini Dodoma wakati wa Semina Endelevu  ya 29 ya Bodi hiyo.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (katikati) Waziri wa ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa wakiwa katika picha ya pamoja na  Baadhi ya washiriki wa   Semina Endelevu  ya 29 ya Bodi ya Usajili wa Wabunifu  Majengo na Wakadiriaji Majenzi.

Picha zote na Philemon Solomon

Post a Comment

0 Comments