Hakika inauma sana kifo cha Watoto hawa. Naamini katika Ufufuo, kulingana na Neno la Mungu, Biblia. Yohana 5:28,29. Na wakati huo hawatakuwa wameungana vile. Yehova Mungu Muumba wetu Mtukufu, atakuwa tayari kuwaweka huru kutokana na utumwa wa dhambi na kifo. Hivyo watakuwa kila mtu peke yake. Mungu hasemi uongo. Kwa kuwa katika kitabu cha Ufunuo 21:3-5 ameahisi.kuondoa sababu zozote zinazotufanya tulie leo, kutia bdani ukosefu wa haki, magonjwa, njaa, uzee na kifo.
1 Comments
Hakika inauma sana kifo cha Watoto hawa. Naamini katika Ufufuo, kulingana na Neno la Mungu, Biblia. Yohana 5:28,29. Na wakati huo hawatakuwa wameungana vile. Yehova Mungu Muumba wetu Mtukufu, atakuwa tayari kuwaweka huru kutokana na utumwa wa dhambi na kifo. Hivyo watakuwa kila mtu peke yake. Mungu hasemi uongo. Kwa kuwa katika kitabu cha Ufunuo 21:3-5 ameahisi.kuondoa sababu zozote zinazotufanya tulie leo, kutia bdani ukosefu wa haki, magonjwa, njaa, uzee na kifo.
ReplyDelete