Rais Mhe. Dkt. Magufuli Alipowajulia Hali Maria na Consolata Katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es Salaam - Januari 06, 2018 - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, 3 June 2018

Rais Mhe. Dkt. Magufuli Alipowajulia Hali Maria na Consolata Katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es Salaam - Januari 06, 2018

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. John Pombe Magufuli akiwajulia hali watoto wawili Mapacha walioungana Maria na Consolata ambao wamelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)kwa ajili ya Matibabu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. John Pombe Magufuli akisali pamoja na watoto wawili Mapacha walioungana Maria na Consolata ambao wamelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)kwa ajili ya Matibabu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages