Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Dkt. John Pombe Magufuli akiwajulia hali watoto wawili Mapacha
walioungana Maria na Consolata ambao wamelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya
Kikwete (JKCI)kwa ajili ya Matibabu.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa
Dkt. John Pombe Magufuli akisali pamoja na watoto wawili Mapacha
walioungana Maria na Consolata ambao wamelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya
Kikwete (JKCI)kwa ajili ya Matibabu.
No comments:
Post a Comment