Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu
Mabadiliko ya Tabianchi COP26
unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye jukwaa mara baada
ya kuhutubia katika Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja
wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi COP26
unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
katika picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki Mhe. Balozi LiberathaMulamula pamoja na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu
wa Rais (Muungano na Mazingira)Mhe. SelemaniJafo mara baada kuhutubia katika Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu
Mabadiliko ya Tabianchi COP26 unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo
tarehe 02 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanakiwa katika Mkutano wa 26 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu
Mabadiliko ya Tabianchi COP26
unaoendelea katika Mji wa Glasgow, Scotland leo tarehe 02 Novemba, 2021.
PICHA NA IKULU

0 Comments