Habari za Hivi Punde

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA KIWANDA CHA SUKARI KILOMBERO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kiwanda cha Sukari Kilombero (K4), tarehe 4 Agosti, 2024.
Picha za matukio mbali mbali mara baada ya hafla ya uwekaji jiwe la msingi la Ujenzi wa Kiwanda cha Sukari cha Kilombero (K4) uliofanywa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, tarehe 4 Agosti, 2024.

Post a Comment

0 Comments