Habari za Hivi Punde

6/recent/ticker-posts

Header Ads Widget

RAIS SAMIA ATOA SH.BILIONI 17 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA SHULE KILIMANJARO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
........................................

Na Dotto Mwaibale, Dar es Salaam

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Sh. Bilioni 17 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya shule mkoani Kilimanjaro.

Maboresho ya shule hizo yanakwenda kufanikisha wanafunzi 30,901 kujiunga na kidato cha kwanza Januari 2025 Mkoa wa Kilimanjaro.

Fedha hizo zilizotolewa na Rais Samia zitatumika kuboresha miundo mbinu ya madarasa, mabweni na ujenzi wa shule mpya 17 za sekondari.

Post a Comment

0 Comments