Random Posts

RAIS . DKT. SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI MBALIMBALI PAMOJA NA MAKUNDI MAALUM MKOANI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Dodoma pamoja na  makundi maalum katika viwanja vya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 15 Machi, 2025.
 Viongozi mbalimbali ikiwemo wa Dini, siasa, wazee wa Mkoa wa Dodoma wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 15 Machi, 2025.

Post a Comment

0 Comments