Random Posts

RAIS MHE. DKT. SAMIA AFUTURISHA WATOTO YATIMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na baadhi ya watoto wenye mahitaji maalum kwenye Iftari aliyowaandalia Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025. 
Watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpakulia Iftar Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Walid Omar kwenye iftar aliyowaandalia watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpakulia Iftar Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila kwenye iftar aliyowaandalia watoto yatima pamoja na watoto wenye mahitaji maalum Ikulu Jijini Dar es Salaam 03 Machi, 2025. 

Post a Comment

0 Comments