WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KONGAMNAO LA WANAWAKE KANDA YA KATI - MTAZAMO MEDIA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Wednesday, 5 March 2025

demo-image

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KONGAMNAO LA WANAWAKE KANDA YA KATI

Responsive Ads Here

1
Baadhi ya Watumishi Wanawake wa Wizara ya Fedha, wakiongozwa na  Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu,  Bi. Fauzia Nombo, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Kongamano la Wanawake Kanda ya Kati iliyohusisha mikoa ya Dodoma, Iringa na Singida lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Convention Center-Dodoma. Katika Kongamano hilo Mgeni Rasmi alikuwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anna Makinda.
1B
2

Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu, Bi. Fauzia Nombo, akifuatilia hotuba ya Mgeni Rasmi, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Mstaafu, Mhe. Anna Makinda, wakati wa Kongamano la Wanawake Kanda ya Kati iliyohusisha mikoa ya Dodoma, Iringa na Singida lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Contention Center-Dodoma.

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WF, Dodoma)



 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *