RAIS . DKT. SAMIA AWASILI JIJINI LUANDA NCHINI ANGOLA KWA AJILI YA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU 3 - MTAZAMO MEDIA

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Tuesday, 8 April 2025

demo-image

RAIS . DKT. SAMIA AWASILI JIJINI LUANDA NCHINI ANGOLA KWA AJILI YA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU 3

Responsive Ads Here

01.....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa  4 De Fevereiro Luanda kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini Angola tarehe 07 Aprili, 2025. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Angola Mhe. João Manuel GonçalvesLourenço na lengo la Ziara hiyo ni kukuza nakuimarishazaidimahusiano ya kihistorianakidugubaina ya Tanzania na Angola.
01a
02....
02..
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola  Mhe. Téte António mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Luanda kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini Angola tarehe 07 Aprili, 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *