BURIANI KATIBU WA CCM WILAYA YA MBOZI, JULIUS MBWIGA, AFARIKI SAA CHACHE KABLA YA KUSHIRIKI KIKAO MUHIMU - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, 6 July 2025

BURIANI KATIBU WA CCM WILAYA YA MBOZI, JULIUS MBWIGA, AFARIKI SAA CHACHE KABLA YA KUSHIRIKI KIKAO MUHIMU

Bw. Julius Mbwiga, enzi za uhai wake

.......................................

Na Dotto Mwaibale

KATIBU wa Chama Cha Mapinzuzi (CCM) , Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe, Julius Mbwiga amefariki dunia leo Julai 6, 2025.

Kifo chake kimewasikitisha watu wengi waliokuwa wakimfahamu kutokana na uchapakazi wake uliotukuka.

Mbwiga amefariki dunia wakati akijiandaa kwenda kwenye kikao cha kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Mbozi mkoani humo ambacho kilipangwa kufanyika leo Julai 6, 2025.

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pole kwa ndugu jamaa, marafiki na viongozi wa chama hicho Mkoa wa Songwe.


 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages