KIKUNDI CHA KWATA CHA JWTZ KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA COMORO - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Sunday, 6 July 2025

KIKUNDI CHA KWATA CHA JWTZ KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA COMORO

Kikundi cha Kwata ya kimya kimya kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikionesha umahiri wa kupiga kwata hiyo wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.











 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages