Kikundi cha Kwata ya kimya kimya kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikionesha umahiri wa kupiga kwata hiyo wakati wa Sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro zilizofanyika katika uwanja wa Malouzini Jijini Moroni tarehe 06 Julai, 2025.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Sunday, 6 July 2025

KIKUNDI CHA KWATA CHA JWTZ KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA COMORO
Tags
# HABARI
Share This
About Mtazamomedia blog
HABARI
Tags:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
No comments:
Post a Comment