MGOMBEA URAIS CCM DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA SONGEA - MTAZAMO MEDIA

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 22 September 2025

MGOMBEA URAIS CCM DKT. SAMIA AKIZUNGUMZA NA WANANCHI WA SONGEA


Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Songea katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025.




Mgombea Mwenza Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza katika mkutano huo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Songea mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Songea mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025. 




Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Songea mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025. 



Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Songea mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025. 




Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mkutano wa hadhara na Mgombea Mwenza Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Songea mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025.

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mkutano wa hadhara na Mgombea Mwenza Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, Songea mkoani Ruvuma tarehe 22 Septemba, 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages