Mwandishi
wa michezo na burudani wa Gazeti la Jambo Leo Bw.Magendela Hamisi
akipewa mkono wa pongezi na Mhe.RAIS Jakaya Kikwete kwa niaba ya
Mkurugenzi mkuu wa Jambo Concerpt. Juma Pinto.kwa mchango wake alioutoa
kwenye harambee ya kutunisha mfuko wa kuwasaidia wajasiriamali wadogo na
wananchi wanaoishi Jimbo la Ukonga kuwainua kimaendeleo .ulifanyika
hivi karibuni kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es es salaam.
(PICHA ZOTE NA PHILEOMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)
RED COAST, ABAJALO, FRIENDS RANGERS ZAFUZU HATUA YA KANDA!!
Red Coast, Abajalo, Friends Rangers zafuzu hatua ya Kanda
Ligi
Daraja la Pili mkoa wa Dar es Salaam hatua ya sita bora imemalizika leo
kwa timu tatu za Red Coast, Abajalo na Friends Rangers zimefuzu kucheza
hatua ya Kanda.
Katika
mechi iliyochezwa Makurumla, Friends Rangers iliifunga Sharif Stars
mabao 2-0. Mabao hayo yamefungwa na Khatib Kuduku katika dakika ya 12 na
Mwenda Athuman katika dakika ya 57.Kwa matokeo hayo Rangers imefikisha
pointi 8.
Kwenye
uwanja wa Kinesi Red Coast wameibuka na ushindi wa bao 1-0.Bao hilo
limefungwa dakika ya 32 na Rafael Mapunda. Kwa matokeo hayo Red Coast
wamefuzu hatua hiyo kwa kujikusanyia pointi 11 wakiwa vinara wa ligi
hiyo.
Abajalo
nao wamefuzu hatua hiyo baada ya kuichapacha Boom FC mabao 2-0. Hata
hivyo mechi hiyo ilivunjika kutokana na wachezaji watatu wa Boom FC
kutolewa kwa kadi nyekundu.Abajalo imeweza kufuzu baada ya kujikusanyia
pointi 10.
TUNAJADILI RASIMU YA KATIBA YA SOKO LA KIBASILA
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HARAMBEE YA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LA TZ METHODIST MSASANI NA KUZINDUA CD YA KWAYA YA WATOTO WANAOFADHILIWA NA COMPASSION INTERNATIONAL TZ
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya maua kutoka kwa watoto wa Kituo cha Kanisa la
Tanzania Methodist la Msasani, wakati alipowasili katika kituo hicho leo
kwa ajili ya kuhudhuria harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha
Kanisa hilo iliyofanyika sambamba na Ibada maalum ya kumshukuru Mungu
kwa ajili ya Shirika la Compassion International Tanzania kwa kuingia
Ushirika wenza na Makanisa ya Mkoa wa Dar es Salaam na kuzindua Cd ya
Kwaya ya Watoto wanaofadhiliwa na Shirika hilo. Picha na Muhidin
Sufiani-OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akipokea zawadi ya kutoka kwa Mkurugenzi wa Kituo cha Kanisa la
Tanzania Methodist la Msasani, Joseph Mayala, leo wakati wa hafla ya
harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha Kanisa hilo iliyofanyika
sambamba na Ibada maalum ya kumshukuru Mungu kwa ajili ya Shirika la
Compassion International Tanzania kwa kuingia Ushirika wenza na Makanisa
ya Mkoa wa Dar es Salaam na kuzindua Cd ya Kwaya ya Watoto
wanaofadhiliwa na Shirika hilo. Kulia ni Askofu wa Kanisa hilo, Dkt.
Mathew Byamungu.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwahutubia waumini wa dini ya Kikristo wa Kituo cha Kanisa la
Tanzania Methodist la Msasani, wakati alipowasili katika kituo hicho leo
kwa ajili ya kuhudhuria harambee ya kuchangia ujenzi wa Kituo cha
Kanisa hilo iliyofanyika sambamba na Ibada maalum ya kumshukuru Mungu
kwa ajili ya Shirika la Compassion International Tanzania kwa kuingia
Ushirika wenza na Makanisa ya Mkoa wa Dar es Salaam na kuzindua Cd ya
Kwaya ya Watoto wanaofadhiliwa na Shirika hilo.
Baadhi ya waumini waliohudhuria harambee hiyo.
Watoto
wa Kwaya inayofadhiliwa na Shirika la Compassion International
Tanzania, wakitoa burudani ya kuimba moja ya wimbo wao ulio katika Albam
yao iliyozinduliwa katika hafla hiyo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja ya kumbukumbu na Watoto wa Kituo hicho.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja ya kumbukumbu na baadhi ya wachungaji na
watumishi wa Kanisa hilo.
MAMA SALMA KIKWETE KATIKA KILELE CHA MIAKA 10 YA FAO LA ELIMU LINALOTOLEWA NA PPF.
Naibu
Waziri wa Fedha Mheshimiwa Saada Kmuya Salum akimkabidhi Mke wa Rais
Mama Salma Kikwete zawadi wakati wa sharehe ya kutimiza miaka 10 ya Fao
la elimu litolewalo na Mfuko wa Pensheni wa PPF zilizofanyika katika
ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar tarehe 27.4.2013
.
Baadhi
ya wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaofadhiliwa na PPF
katika masomo yao wakiwa kwenye sherehe ya kutimiza miaka 10 ya Fao la
Elimu litolewalo na shirika hilo kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere
Convetion Centre jijini Dar tarehe 27.4.2013.
Binti mcheza sarakasi kutoka katika kikundi cha Safi akionyesha umahili
wa michezo mbalimbali kama anavyoonekana kaytika picha hiyo.
Baadhi
wa wazazi na wanafunzi waliopata fursa ya huduma ya elimu kutoka
katika mfuko wa PPF wakipiga picha ya pamoja na mgeni rasmi mara baada
ya kutoa ushuhuda wao wa jinsi gani mfuko huo umeweza kuwasaidia.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akiwatuza waimbaji wa taarabu wakati wa
sherehe ya miaka 10 ya Fao la elimu linalotolewa na PPF iliyofanyika
Mwalimu Nyerere Convention Centre jijini Dar tarehe 27.4.2013.
Naibu Waziri wa Fedha Mheshimiwa Saada Mkuya Salum akimpongeza Bi Asha
Mashauzi wakati wa sharehe ya miaka 10 ya Fao la elimu linalotolewa na
Mfuko wa Pensheni wa PPF.
Wageni
waalikwa pamoja na wanafunzi waliOshiriki katika sherehe za kutimiza
miaka 10 ya Fao la elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF,
wakimsikiliza Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake kwenye ukumbi wa
Mwalimu Nyerere jijini Dar tarehe 27.4.2017.
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akiwahutubia wakati wa kilele cha kutimiza
miaka 10 ya Fao la elimu litolewalo na Mfuko wa Pensheni wa PPF katika
sherehe zilizofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre
hapa Dar tarehe 27.4,2013.
Wageni
waalikwa pamoja na wanafunzi waliOshiriki katika sherehe za kutimiza
miaka 10 ya Fao la elimu linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF,
wakimsikiliza Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake kwenye ukumbi wa
Mwalimu Nyerere jijini Dar tarehe 27.4.2017.
Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, akitoa
zawadi kwa baadhi ya wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na kupata
division 1 na 2 katika masomo yao. Wanafunzi hao walitunukiwa compyuta
ya kisasa kila mmoja.
Mke
wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, akitoa
zawadi kwa baadhi ya wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na kupata
division 1 na 2 katika masomo yao. Wanafunzi hao walitunukiwa compyuta
ya kisasa kila mmoja.
Baadhi
ya wanafunzi waliopata fursa ya huduma ya elimu kutoka katika mfuko wa
PPF wawa na kompyuta zaomara baada ya kuzawadiwa na mgeni rasmi
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akimpa mkono mwanafunzi mdogo wa shule ya
msingi mara baada ya sherehe ya kutimiza miaka 10 ya Fao la elimu
linalotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF zilizofanyika jijini Dar tarehe
27.4,2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipiga picha ya pamoja na wajumbe wa
bodi ya udhamini na wanafunzi wanaofadhiliwa katika elimu yao na PPF
wakati wa kilele cha kutimiza miaka 10 zilizofanyika Dar tarehe
27.4.2013.







0 Comments