Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake wakati akifungua rasmi Mkutano Mkuu
wa Mwaka wa Mawakala wa Usafirishaji wa Majini kwa nchi za Mashariki ya
Kati kwa Afrika, uliaoanza jijini Dar es Salaam jana Juni 19, 2013 unaofanyika kwa siku nne. (PICHA ZOTE NA BERNARD JAMESI WA MTAZAMO)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisalimiana na Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe,
wakati alipowasili kwenye Hoteli ya Double Tree, kwa ajili ya kufungua
Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mawakala wa Usafirishaji wa Majini
kwa nchi za Mashariki ya Kati kwa Afrika, uliaoanza jijini Dar es
Salaam jana Juni 19, 2013 unaofanyika kwa siku nne.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakimsikiliza Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi rasmi wa mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo wakimsikiliza Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi rasmi wa mkutano huo.
Waziri
wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe, akizungumza kabla ya kumkaribisha
Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, kufungua mkutano huo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe,wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa mkutano huo
Mkurugenzi wa Mtazamomedia Blog Bw.Bernardi Jamesi akisalimiana na Waziri
wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe.wakati alipowasili kwenye Hoteli ya Double Tree, kwa ajili ya kufungua
Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Mawakala wa Usafirishaji wa Majini
kwa nchi za Mashariki ya Kati kwa Afrika, uliaoanza jijini Dar es
Salaam jana Juni 19, 2013 unaofanyika kwa siku nne.
0 Comments