Random Posts

UKATILI WA MAJANGILI UTAISHA LINI

 Mzoga wa Twiga ukiwa pori la akiba la saadan Tanga,baada ya majangili walipogundua kufuatiliwa walikimbia pasipo kujulikana, chini ni mzoga wa Tembo ukiwa kwenye pori la seleous
PICHA KWA HISANI YA SAADAN LOUGE


TAASISI ISIYO YA KISERIKALI YA KUHAMASISHA  WANANCHI KUKATAA VITENDO VYA UJANGILI NCHINI NA UHAMASISHAJI WA UTUNZAJI  WA MAZINGILA YAANZISHWA NCHINI

Habari Development Association ni Taasisi iliyoanzishwa na Baadhi ya waandishi wa Habari  za magazeti na mitandao ya kijamii nchini Tanzania kwa lengo la kutoa Elimu kwa wa Tanzania na hasa jamii zinazoishi kandokando za mbuga zetu za Taifa na Mapori yaAkiba  kukataa na kupinga ujangili.vitendo vyote vya ujngil wa ,Mariasil,. Adimu ya wanyama pori na utunzaji wa mazingila kwa faida ya taifa letu la leo na vizazi vijavyo,Kutokana na Serikali yetu kuwa karibisha wawekezaji nchini. katika sekta mabalimbali,. kwa lengo zuri,Imekuwa tofauti kabisa baadhi yao wamegeuka na kuwa maadui wakubwa, kuwahi kutokea nchini .kwa kuuwa wanyanya wetu ovyo bila huruma kitu kinachoelekea kumalizika kwa Wanyama wetu,  wa porini na kutowekeka kabisa katika uso wa Taifa letu iwapo tusiposhikamanana wote kupambana na ujangili huu.Mhe,Waziri wa mariasiri na utalii nchini Tanzania Barozi Kagasheki amekuwa akijitahidi kwa nguvu zote kupambana na ujangili kitu kinacho leta tumaini la kuutokomezwa ujangili,pamoja na jitihada za kagasheki rakini kumekuwepo na njama za makusudi za kukwamisha jitiada nzuli za Mhe.Kagasheki ,zakupambana na ujangilizinazo fanywa na baadhi ya Mafisadi wanao tumiwa na M tandao ,wa, Majangili.  nchini kitu ambacho wana, nchi, na wana harakati na Taasisi mbalimbal.i wameapa kumuunga mkonoMhe Barozi Kagasheki,Wachina ni tatizo kubwa hapa nchini.
hawaaminiki kabisa tofauti na matarajio ya watanzania,wachina wamegundua uzaifu wa baadhi ya waTanzani ya kupenda. rushwa na kuutumia uzdhaifu huo kwa kuwahonga pesa nyingi,karibia asilimia sabini ya wachina walioingia nchini kama wawekezaji au wataalamu wa miundo mbinu ni majangili na tayari wameweza kuwakamata baadhi ya viongozi na baadhi ya mawaziri wanaotajwa kugombea urais, 2015 katika uchaguzi ujao.wakiongea kwa uchungu baadhi ya wananchi wameomba kama kuna uwezakano mizigo yote ya wachina inayoenda nje ya nchi hata ikiwa ya Barozi ipekuliwe,pia kusitisha mala moja makampuni ya kichina yaliyo pewa tenda za ujenzi wa barabara zinazo pita ktk mbuga zetu za wanyama.Tembo,Faru.Simba,Chui,Twiga,wako hatalini kutoweka katika mbuga zetu.licha ya kuchukua ngozi,pia wanachukua mpaka mifupa.Taasisi ya Habari Development Association inatoa Rai kwa kila mwananchi atakaye toa taarifa sahihi zitakazo wezesha kukamatwa kwa mtu au watu au kampuni yoyote ile ikiwa na meno ya TEMBO ,FARU,NGOZI za CHUI ,wasiliana nasi zawadi nono itatolewa,na mtoa taarifa hatajulikana kwasababu itakuwa siri kati yetu nay eye.tunafanya utaratibu wa kuweka simu zetu kwenye matangazo mbalimbali ambayo yataanza kutoka kwenye magazeti  na TV na MABANGO yatakayo rahisisha mawasiliano,Tanzania bila ujangili inawezekana.

Na Bernard ,J,Mwanawille

0652 152 000


Post a Comment

0 Comments