Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Mohamed Bilal akitoa heshima za mwisho ktk kuuaga mwili wa DR Mvungi aliye fariki hivi karibuni kutokana na kujeruhiwa vibaya kwa kushambuliwa na vitu vyenye ncha kari na watu wanao dhaniwa ni majambazi nyumbani kwake Kibamba nje kidogo ya mji wa Dar Es Salaam
Mhe,Wasira ambae ni Waziri ofisi ya Rais ni miogoni mwa walio jitokeza kuuaga mwili wa Dr Mvungi katika viwanja vya karimjee jijini Dar Es Salaam
Mwenyeki wa chama cha Siasa MH, Mbowe ni miongoni mwa viongozi wa vyama vya siasa waliojitokeza kutoa heshima zao za mwisho
Mwenyekiti wa makampuni ya IppReginald Mengi akitoa heshima zake za mwisho mbele ya jeneza lililo beba mwili wa Dr Mvungi
Mwenyekiti na mlezi wa vyama vya Siasa nchini Fransic akisoma lisala ya marehumu kabla ya kusafirishwa.
Baadhi ya watoto wa kike wa marehemu wakijianda kuimba shahili la kumuaga kipenzi chao.Baba yao mpendwa dr Mvungi.
picha zote na Bernard James wa mtazamo media Dar Es Salaam
0 Comments