Random Posts

Azama FC yakabidhiwa Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania 2014, Uwanjani kwao Chamazi



Mabingwa wakisherehekea Kombe lao la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom, mara baada ya kukabidhiwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania (TFF), Jamali Malinzi, Uwanja wao wa Chamazi, Mbagala jijini Dar es Salaam lao, ambapo waliitandika timu ya JKT Ruvu bao 1-0 katia mchezo wa kukamilisha ratib ya ligi hiyo,  uwanjani hapo.