Waumini wa Kanisa la Kiinjili Tanzania KKT, la Azania Front la Dar es Salaam wakiwa katika Ibada ya Ijumaa Kuu
Muumini
wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Usharika wa Azania
Front, Moses Kombe, (katikati) na wenzake wakiigiza igizo la kumbukumbu
ya Kuwambwa Yesu Kristo miaka 2000 iliyopita wakati wa ibada ya Ijumaa
Kuu iliyofanyika katika kanisa hilo Dar es Salaam jana.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowasa akiwa katika ibada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa la KKKT la Azania Front Dar es Salaam.
Askofu
Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Porkap Kadinali Pengo akiubusu
Msalaba wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika Kanisa la
Mtakatifu Josef Dar es Salaam jana.
Waumuni
wa Kanisa la Mtakatif Josef Jimbo Kuu la Dar es Salaam wakiwa wanaubusu
Msalaba wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika Dar es Salaam jana.
PICHA ZOTE NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DAR ES SALAAM