Random Posts

JOSE MOURINHO AWACHARUKIA DIEGO COSTA NA WENZAKE LICHA YA KUSHINDA 2-0 DHIDI YA LEICESTER


1408817110312_Image_galleryImage_Chelsea_s_Diego_Costa_sco 
Kibarua kizito: Diego Costa aliifungia Chelsea bao la kuongoza dhidi ya timu ngumu ya Leicester.
JOSE Mourinho aliwajia juu wachezaji wake kuwa ni wavivu kufuatia kucheza vibaya kipindi cha kwanza licha ya ushindi wa mabao 2-0 waliopata jana dhidi ya  Leicester.
Chelsea walibanwa mbavu kipindi cha kwanza na timu mpya iliyopanda daraja ya  Leicester  kabla ya Mourinho kuwawashia moto wachezaji wake wakati wa mapumziko.
Kusoma zaidi bofya.