Kibarua kizito: Diego Costa aliifungia Chelsea bao la kuongoza dhidi ya timu ngumu ya Leicester.
JOSE
Mourinho aliwajia juu wachezaji wake kuwa ni wavivu kufuatia kucheza
vibaya kipindi cha kwanza licha ya ushindi wa mabao 2-0 waliopata jana
dhidi ya Leicester.
Chelsea
walibanwa mbavu kipindi cha kwanza na timu mpya iliyopanda daraja
ya Leicester kabla ya Mourinho kuwawashia moto wachezaji wake wakati
wa mapumziko.
Kusoma zaidi bofya.