Random Posts

MAGUFULI TAABANI WACHINA WAKE WAACHIWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU



Baada ya kusota takribani,miaka 5 mitano jela hatimaye wale wachina waliokamatwa wakivua samaki ndani ya ukanda wa uchumi wa Tanzania wa bahari ya Hindi
Hii ilitokea wakati Mhe John Magufuli akiwa Waziri wa Ardhi na uvuvi.Pia mahakama imeamuru Wachina warudishiwe mali zao zote walizokamatwa nazo ikiwemo samaki ,ambao tayali Magufuli aliamuru wagawiwe bule kwa wananchi na Taasisi mbalimbali vikiwemo vyuo shule za kulala,Magereza nk.
Hili nipigo kubwa sana kwa nchi nalinaweza kuiingiza nchi katka kulipa fidia ya mabillioni ya pesa ,iwapo Serikali haitaliangalia kwa makini,hasa katika kuakikisha inakata rufaa.
Tanzania imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi zinazo-ongoza kwa rushwa  Mahakama za Tanzania ni miongoni mwa taasisi zinazo ongoza kwa rushwa kitu kinacho punguza nguvu mapambano zidi ya madawa ya kulevya,ujangili nchini,rushwa ya waziwzi inafanyika na hakuna juhudi zozote zinazofanyika kuzuia hali hiyo.
Rais Kikwete amekuwa analalamikia kushamili kwa rushwa nchini kuanzia mahospitalini  mahakama polisi tra hakuna chochote kinachofanyika kutokomeza rushwa nchini,hali ni mbaya sana ,Wachina wanaokamatwa kwa uhujumu uchumi wanapofikishwa mahakamani wanaachiwa katika mazingila tata katika mahakama zetu chini ,wengine wanapigwa faini ndogo sana ukilinganisha na makosa waliyofanya.Upande wa mashitaka wamekuwa wanapeleka ushahidi afifu mahakamani kwa makusudi.
Baba wa Taifa amewahi kusema Tanzania inanuka rushwa.