Random Posts

OBAMA ATOA ONYO KWA KUNDI LA ISIS

                                                             Na Bernard James
                                                             ...........................

Rais Barack Obama  Amewaonya ,waasi wanaojiita Taifa la Kiislamu, litakabiliwa na mashambulizi makali,  kutoka majeshi ya Marekani hasa baada ya Waasi kuuzingila mji wa YAZIDI unaokaliwa na Wakristo wengi.Waasi wametangaza vita ya jihad kwa mtu yeyoteasiye Muislaam wa Suni   mkrito anapaswa kuchagua kubadili Dini nakuwa  Muislam ,au kifo.wakimaanisha iwapo mtu yeyote atakaye kataa kubadili na kuwa Muislam basi anakuwa tayari,amejikatia yeye mwenyewe hukumu ya kifo.wayazidi wengi wamekimbilia katika viunga vya milima na mabonde ya SINJAR  huku wakikabiliwa na njaa na ukosefu wa huduma mbalimbali za kibinadamu .Baraza la umoja wa mataifa limelaani vikari kundi la ISIS  k wa mauaji makubwa wanayoyafanya wanapokuwa wameteka miji.nayo Uingereza imetangaza kutoa msaada wa  uro 8million kusaidia watu 500000 waliokimbia mashambulizi kutoka kwa kundi lililojipa jina la Taifa la Kiislam ISIS.Pia kundi hilo linawaona wa Shiite ni adui yao namba2 nalimekuwa linaendesha mauaji ya kutisha kwa dhehebu ya washiite.Naye Papa Fransisco ameomba jamii ya kimataifa kuingilia kati kuwaokoa jamii ya Yazidi kutoka katika hatali ya mauaji ya kimbari.wakati huohuo Rais Obama amesema Marekani itaendelea kuwa karibu na serikali ya Irag kwa kutoa ushauli wa kijeshi kwa vikosi dhaifu vya nchi hiyo.Mji wa Yazidi ni mji wenye wakristo wengi nchini Irag na ni mji ,wakristo wengi nchini humo wanauona ni mji mtakatifu na wakumbukumbu


Hii kali-Watu wawili wakiwa wamesulubishwa kwenye msalaba na waasi wa( ISIS),  baada ya wapiganaji hao  kuuteka mji huo.kulia ni mtoto wa jamii ya Yazidi akiwa hajui nini afanye.Akina Mama na watoto wamekuwa waasirika wakubwa katika mapigano yanayoendelea iraq.



Msululu mleefu wa watu wakikimbilia katika viunga vya milima ya Sanjar kaskazini mwa mji wa Yazidi kukwepa mauji yanayofanywa   na wapigaganaji wanaojiita Taifa la Kiislaam.





Mtoto wa kike akiwa amebebwa na wananchi wanaokimbia mapigano katika mji wa Yazidi ,Yazidi ni mji wenye wakazi wengi Wa-Kristo .



Kundi kuubwa la watu wakiwa wamekata tamaa.

Post a Comment

0 Comments