Random Posts

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KIBITI


(PICHA NA KIKOSI KAZI CHA FULLSHANGWE-KIBITI)4Mbunge wa jimbo la Kibiti . Mh. Abdul Marombwa akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa watumishi wa zahanati ya kijiji cha Muyuyu wakati ziara ya  katika mkoa wa Pwani7Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akipanda mti katika zahanati ya kijiji cha Nyamatanga wilayani Kibiti mkwani Pwani8Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akishiriki  ujenzi katika zahanati ya kijiji cha Nyamatanga.11Jengo la zahanati ya kijiji cha Nyamatanga16Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akizumza na wananchi wa kijiji Nyamatangakata ya Nyamatanga19Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akishiriki kupiga marimba katika kijiji cha Songa.20Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akiweka jiwe la msingi  katika ofisi ya CCM  jimbo Kibiti.21Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akishiriki katika ujenzi wa ofisi ya CCM Kibiti22Katibu Mkuu mahia kuc yindwa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akipata mahindi ya kuchoma mjini Kibiti.23Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akikagua soko jipya mjini Kibiti.24Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akikagua soko jipya mjini Kibiti.25MsKatibu wa CCM Mkoa wa Pwani mama Joyce Masunga akizungumza na waanchinchi wa Kibiti.26Mkuu wa wilaya  ya Rufiji Bw. Nurdin Babu akiteta jammbo na Mbenge wa jimbo la Kibiti Mh. Abdul Marombwa huku Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Pwani Ndugu Mwisheshe Mlao.30Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akimsikiliza aliyekuwa Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti mara baada ya kutangaza kurejea CCM.31Selemani Ndumbogani Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMa Kibiti maraa  akikabidhi kadi yake kwaKatibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana baada ya kutangaza kurejea CCM.32Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Andulrahmani Kinana akizungumza jambo na wazeee wa baada ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa ofisi ya serikali ya kijiji cha Kinyanya.