Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji
Makao Makuu Dodoma (CDA) mjini Dodoma Sep12,2014. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Baadhi
ya washiriki wa Mkutano wa wadau wa Mamlaka ya Ustawishaji Makao
Makuu Dodoma (CDA) wakimsikiliza Waziri Mkuu, MIzengo Pinda wakati
alipozungumza nao mjini Dodoma Sep12,2014. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)