Random Posts

BINTI WA KIPAKISTANI ALIYEPONEA CHUPUCHUPU KUUWAWA NA KUNDI LA TALIBANI-ATUNUKIWA NISHANI YA AMANI DUNIANI.

Malala Yousafzai (kuria)akizungunza na waandishi wa habari,mala baada ya kutunukiwa nishani ya amani katika ukumbi wa Birmingham liblary.

 Malala ,akiwa na familia yake,aliye nyuma yake,anaonekana kwa upande ni Baba yake Yousafzai Ziauddin ,wakati wa kutunukiwa nishani hiyo ya heshima2014.
 Hapa Malala akiongea jambo na waandishi,hawapo pichani mala baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo ya amani Duniani2014.
 
Malala Yousafzai akiongea kwa utani kwamba yeye anaogopa sana mimbari(jukwaa),kwasababu ni refu kumpita yeye,hapa alikuwa anazungumza na wana habari kutoka mataifa mbalimbali Duniani.



Birmingham-Uingereza Binti wa ki-Pakistan  Malala Yousafzai 17 umri,atunukiwa tuzo ya amani Nobel Prize ,na kuwa ni binti wa kike wa kwanza kutunukiwa nishani ya amani Duniani.Binti huyo wa Kipakistani ana historia ndefu katika maisha yake amepitia misukosuko mingi ikiwamo jaribio la kutaka kumu-uwa lililofanywa na kundi la Telebani mika miwili iliyopita,Malala ni mwanaharakati wa kutetea haki za watoto kupata elimu  sawa,bila kubagua jinsia na hasa kwa watoto wa kike kupata elimu sawa na watoto wa kiume, katika nchi yake  mtoto  wa kike aruhusiwi kusoma elimu ya kisasa yaani elimu dunia, ,bali anaruhusiwa kusoma elimu ahera yaani elimu ya dini ambayo ni uislaam tu!,mtoto wa kike huchukuliwa kama ni mtu wa kuolewa pindi atakapofikisha umri ,kwa hiyo mtu yeyote au taasisi yeyote ile inayosomesha mtoto wa kike uhesabiwa  uhes unapingabiwa inaenda kinyume, na mafundisho ya dini  na hivyo kuwa katika hatari ya kushambuliwa na namakundi yenye imani kari ya dini ya ki-islaam, ,.Malala aliendesha harakati zake akiwa Pakistani akihamasisha wazazi kuwapeleka watoto wao wa kike iliwapate elimu bora ya Dunia, kitu kilichofanya apate ujumbe wa fitisho vya kuu wawa, kutoka katika makundi yenye imani kari za dini ya kiislaam likiwemo kundi la Talibani,matokeo ya vitisho hivyo ,alishambuliwa,kwa kupigwa risasi k Birmingham-Uingereza Binti wa ki-Pakistan  Malala Yousafzai 17 umri,atunukiwa tuzo ya amani Nobel Prize ,na kuwa ni binti wa kike wa kwanza kutunukiwa nishani ya amani Duniani.Binti huyo wa Kipakistani ana historia ndefu katika maisha yake amepitia misukosuko mingi ikiwamo jaribio la kutaka kumu-uwa lililofanywa na kundi la Telebani,Malala ni mwanaharakati wa kutetea haki za watoto kupewa haki sawa,na hasa kwa watoto wa kike kupata elimu sawa na watoto wa kiume katika nchi yake na  hakihasa masomo ya elimu dunia ,bali anaruhusiwa kusoma elimu ahera yaani elimu ya dini ambayo ni uislaam tu!,mtoto wa kike huchukuliwa kama ni mtu wa kuolewa pindi atakapofikisha umri ,kwa hiyo mtu yeyote au taasisi yeyote ile inayosomesha mtoto wa kike uhesabiwa kwamba wewe unapingana na mafundisho ya dini na kwenda kinyume kitu ambacho husababisha kuzuliwa ikiwamo kifo,.Malala aliendesha harakati zake akiwa Pakistani akihamasisha wazazi kuwapeleka watoto wao wa kike iliwapate elimu bora ya Dunia, kitu kilichofanya apate ujumbe wa fitisho vya kuuwawa kutoka katika makundi yenye imani kari za dini ya kiislaam likiwemo kundi la Talibani,matokeo ya vitisho hivyo alipigwa risasi na kukimbizwa Uingereza kupata matibabu,Malala kwa sasa anaishi nchini Uingereza na anasoma Birmingham katika shule ya Edgbaston,na anasoma masomo ya sayansi  hasa somo la kemia(Chemistry),mpaka anatunukiwa nishani ya heshima kabisa ya juu ya amani jana ijumaa alikuwa hajui nini kinaendelea juu yake alishangaa mwalimu wake mala baada ya vipindi kuisha anachukuliwa na mwalimu nje ya darasa na kuambiwa wewe kuanzia sasa wewe ndie mshidi wa tuzo ya Amani ya mwaka2014,nae akiongea na waandishi wa habari kutoka mataifa mbalimbali waliokusanyika katika ukumbi wa liblary ya Birmingham wakiwa na shauku kubwa ya kumsikiliza mshindi huyo,Alianza kwa kusema kwanza kabisa shukrani zangu za dhati zimwendee Baba yangu ambae hakunibana mabawa katika harakati zangu za kutetea haki sawa kwa watoto wa jinsia zote kupata elimu,Baba alinipa uhuru na mimi nikawa napaa angani nitakavyo alisema Malala wakati anaongea na waandishi kutoka mataifa mbalimbali Duniani,Malala akionekana mwenye furaha aliwachesha watu aliposema kwa utani kwamba yeye anaogopa zaidi jukwaa kwasababu ni lefu zaidi yake ,pia alisema anajiona na mtu mwenye heshima kubwa kuchaguliwa kuwa mshindi wa heshima wa amani,anajivunia kuwa binti mdogo kuwa wa kwanza kutunukiwa nobel prize,pia kuwa mpakistani wa kwanza ,mwana-mke mdogo wa kwanza,na kwamba nishani aliyotunukiwa leo sio ya kuweka ukutani kwenye nyumba au ndio imfanye apumzike na haki kwa watoto wa kikea kulidhika,bali inamfanya kuongeza juhudi zaidi katika harakati zake za kutete
wa lengo la kumuuwa na kundi la Talibani miaka 2 iliyopita,na kukimbizwa Uingereza kupata matibabu,Malala kwa sasa anaishi nchini Uingereza na anasoma Birmingham katika shule ya Edgbaston,na anasoma masomo ya sayansi  hasa somo la kemia(Chemistry),mpaka anatunukiwa nishani ya heshima kabisa ya juu ya amani, jana ijumaa alikuwa hajui nini kinaendelea juu yake, alishangaa mwalimu wake mala baada ya vipindi kuisha akashangaa mwalimu wake wa darasa, nje ya darasa ,na  kuambiwa wewe kuanzia sasa umetunukiwa tuzo ya Amani ya mwaka2014,nae akiongea na waandishi wa habari kutoka mataifa mbalimbali waliokusanyika katika ukumbi wa liblary ya Birmingham, wakiwa na shauku kubwa ya kumsikiliza, mshindi huyo,Alianza kwa kusema kwanza kabisa shukrani zangu za dhati zimwendee Baba yangu’ ambae hakunibana mabawa katika harakati zangu za kutetea, haki sawa kwa watoto wa jinsia zote kupata elimubila ubaguzi wa kijinsia,,Baba alinipa uhuru na mimi nikawa napaa angani nitakavyo alisema Malala wakati anaongea na waandishi kutoka mataifa mbalimbali Duniani,Malala akionekana mwenye furaha aliwachesha watu aliposema kwa utani kwamba yeye anaogopa zaidi jukwaa kwasababu ni lefu zaidi yake ,pia alisema anajiona na mtu mwenye heshima kubwa’ kuchaguliwa kuwa mshindi wa heshima wa amani,anajivunia kuwa binti mdogo kuwa wa kwanza kutunukiwa nobel prize,pia kuwa mpakistani wa kwanza ,mwana-mke mdogo wa kwanza,na kwamba nishani aliyotunukiwa leo sio ya kuweka ukutani kwenye nyumba au ndio imfanye apumzike,hapana bali ndio kwanza nazidisha ,harakati  kwa watoto wa kikea kupata elimu sawa na ile anayopata mtoto wa ki-ume,

Post a Comment

0 Comments