Random Posts

MIILI YA ABIRIA YAKUTWA IKIWA IMEVAA VIFAA VYA OXYGENI

Hague-Mwili wa abiria mmoja aliyekuwa katika ndege ya shirika la ndege ya Malaysia(MalaysiaAirline,amegundulika akiwa amevaa vifaa maalumu va ogyjeni ,
Hii inaonyesha yawezekana abiria walijua kwamba tayari ndege waliyokuwemo imetunguliwa.
Waziri wa mambo ya nje Frans ameiambia Televisin ya Taifa.Ndege ya abilia ya Malaysia ilituguliwa ikiwa angani wakati inapita mpakani mwa  Ukraine ambapo kuna vita vinaendelea kati ya waasi na majeshi ya serikali.
Habari hii ni kwa hisani ya mtandao wa Yahoo.

Post a Comment

0 Comments