Random Posts

WAZIRI PROF. MBARAWA AKITETA JAMBO NA MBUNGE WA HAI

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akisalimiana na Mbunge wa Hai Mhe. Freeman Mbowe, walipokutana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akijadiliana jambo na Mbunge wa Hai Mhe. Freeman Mbowe, walipokutana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), ikiwa ni mkakati wa kuupatia ufumbuzi mgogoro kati ya wananchi wanaozunguka uwanja huo na kampuni inayouendesha ya KADCO.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akifafanua jambo kwa Mbunge wa Hai Mhe. Freeman Mbowe, walipokutana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Post a Comment

0 Comments