Random Posts

NHIF MKOA WA MANYARA YAKABIDHI MABATI 100 KATA YA DONGOBESH WILAYANI MBULU KWA AJILI YA UPAUAJI WA JENGO LA UPASUAJI WA KITUO CHA AFYA.

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara, Isaya Shekifu akizungumza na wakazi wa Kata ya Dongobesh Wilayani Mbulu baada ya kukabidhi jana mabati 100 kwa ajili ya upauaji wa jengo la upasuaji wa kituo cha afya.
Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mkoani Manyara, Flatey Massay akizungumza jana na wakazi wa Kata ya Dongobesh baada ya kukabidhiwa mabati 100 ya jengo la upasuaji wa kituo cha afya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara.
Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, Chelestino Mofuga akizungumza na wakazi wa Kata ya Dongobesh baada ya kukabidhiwa mabati 100 ya jengo la upasuaji wa kituo cha afya na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoani Manyara.