
Kaimu
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo Wizara ya
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge akizungumza na
waandishi wa habari (Hawapo pichani) katika uzinduzi wa mashindano ya
mbio za Kili Marathon Oktoba 12 Jijini Dar es Salaam.

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo Wizara ya
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge (katikati )
akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuashiria uzinduzi
wa mashindano ya mbio za Kili Marathon Oktoba 12 Jijini Dar es Salaam.

Afisa
Masoko kutoka kampuni ya Gapco Tanzania Bibi.Cariline Kakwezi akitoa
maelezo kuhusu udhamini wao katika mashindano ya Kili Marathon wakati
wa uzinduzi wa mbio hizo Oktoba 12, 2016 Jijini Dar es Salaam.

Kikundi
cha ngoma kutoka Dar es Salaam kikitoa burudani kwa wageni waalikwa na
waandishi wa Habari ( hawapo pichani) katika uzinduzi wa mashindano ya
mbio za Kilimarathon Oktoba 12, 2016 Jijini Dar es Salaam.
PICHA zote na Shamimu Nyaki WHUSM