Random Posts

SERIKALI YABARIKI MBIO ZA KILI MARATHON.

jr
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) katika uzinduzi wa mashindano ya mbio za  Kili Marathon  Oktoba 12  Jijini Dar  es Salaam.
jr1
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Michezo Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bw. Alex Nkenyenge  (katikati ) akizungumza na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuashiria uzinduzi wa mashindano ya mbio za Kili Marathon  Oktoba 12 Jijini Dar  es Salaam.
jr2
Afisa Masoko kutoka kampuni ya Gapco Tanzania  Bibi.Cariline Kakwezi akitoa maelezo kuhusu udhamini wao katika mashindano ya Kili Marathon wakati wa  uzinduzi wa mbio hizo  Oktoba 12, 2016 Jijini Dar es Salaam.
jr3
Kikundi cha ngoma kutoka Dar es Salaam  kikitoa burudani kwa wageni waalikwa na waandishi wa Habari ( hawapo pichani) katika uzinduzi wa mashindano ya mbio za  Kilimarathon  Oktoba 12, 2016 Jijini Dar  es Salaam.

PICHA zote na  Shamimu Nyaki WHUSM