Random Posts

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MBEYA CITY LEO,KAMUSOKO NA CHIRWA WAANZA BENCHI.



Na.Alex Mathias.
.....................................
Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga Hans Van Der Pluijm,kuelekea kuwavaa Mbeya City mchezo wa 12 Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara unaotarajiwa kupigwa uwanja wa Sokoine mjini Mbeya majira ya sa kumi jioni huku Obrey Chirwa akianza benchi.


Kikosi cha Yanga leo ni; Deogratius Munishi 'Dida', Hassan Kessy, Mwinyi Hajji, Andrew Vincent, Vincent Bossou, Mbuyu Twite, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Amissi Tambwe, Donald Ngoma na Deus Kaseke
Katika benchi wapi; Beno Kakolanya, Kevin Yondan, Oscar Joshua, Thabani Kamusoko, Juma Mahadhi, Obrey Chirwa na Geoffrey Mwashiuya.

Post a Comment

0 Comments