Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaina na Viongozi wa Serikali wa mkoa wa Tabora,
Viongozi wa Vyama vya siasa na dini baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa
Tabora akiwa njiani kwenda Urambo kwenye mazishi ya Spika Mstaafu, Samuel Sitta
Novemba 12, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Askofu Josephat
Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege
wa Tabora Novemba 12, 2016. Wote walikuwa wakienda Urambo kushiriki
mazishi ya Spika Mstaafu, Samuel Sitta.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri baada ya
kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tabora akieleke Urambo khudhuria mazishi ya
Spika Mstaafu, Samuel Sitta, Novemba 12, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Askofu, Alex Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani katika
mazishi ya Spika Mstaafu, marehemu Samuel Sitta yaliyofanyika Urambo Novemba
12, 2016.
Mke wa Waziri Mkuu,
Mary Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo bada ya kuwasili nyumbani kwa
marehemu, Spika Mstaafu Samuel Sitta, Urambo
mkoani Tabora ambako alishiriki mazishi Novemba 12, 2016.
Maaskofu na
wachungaji wakiuombea mwili wa Spika Mstaafu, Marehemu Samuel Sitta kabla ya
mazishi yaliyofanyia Urambo Tabora, Novemba 12, 2016.
Bibi
Kagoli Fundikira ambaye ni Mama Mzazi wa Spika Mstafu , marehemu Samuel Sitta
akiongozwa kwenda kwenye kaburi la mwanae katika mazishi yaliyofanyika
Urambo Novemba 12, 2016
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akimfariji mjane wa marehemu Spika Mstaafu, Samuel Sitta baada ya kuwasili nyumbani kwa
marehemu, Urambo Tabora kwa mazishi
Novemba 12, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa na Mkewe Mary wakitoa heshima za mwisho kwa Spika Mstaafu, marehemu
Samuel Sitta kabla ya mazishi yake yaliyofanyika Urambo mkoani Taboro Novemba
12, 2016.
Bibi Kagoli Fundikira
ambaye ni Mama Mzazi wa marehemu Spika
Mstaafu Samuel Sitta akitupa udongo
kwenye kaburi la mwanane katika mazishi yaliyofanyika Urambo, Tabora Novemba
12, 2016.
Mama Margareth Sitta
ambaye ni Mjane wa marehemu Spika mstaafu,
Samuel Sitta akitupa udongo kwenye kaburi la mumewe katika kazishi
yaliyofanyika Urambo Novemba 12, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitupa udongo
kwenye kaburi la Spika Mstaafu, marehemu Samuel Sitta katika mazishi yaliyofanyika Urambo Novemba 12, 2016.
Viongozi wa Vyama vya
siasa na serikali pamoja na wanafamilia wakiweka udongo kwenye kaburi la Spika
Mstaafu, marehemu Samuel Sitta katika mazishi yaliyofanyika Urambo, Novemba 12,
2016.
Mjane wa Marehemu
Spika Mstaafu, Margareth Sitta, Mama Mzazi wa marehemu, na watoto wa marehemu wakigusa jeneza na
kushuhudia wakati mwili wa marehemu Samuel Sitta ulipoteremshwa kaburini katika
mazishi yaliyofanyika urambo, Tabora, Novemba 12, 2016.
Mama Margareth Sitta ambaye ni mjane wa Spika
Mstafu, marehemu Samuel Sitta akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe
katika mazishi yaliyofanyika Urambo Novemba 12, 2016
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa na Mkewe Mary wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu,
marehemu Samuel Sitta katika mazishi yaliyofanyika Urambo Novemba 12, 2016.
Spika
wa Bunge, Job Ndugai akiweka shada la maua kwenye kaburi la Spika Mstaafu,
marehemu Samuel Sitta katika mazishi yaliyofanyika Urambo, Novemba 12, 2016.
Maaskofu walioshiriki katika ibada ya mazishi ya Spika
Mstaafu, marehemu Samuel Sitta wakiweka shada la maua kwenye kaburi katika
mazishi yaliyofanyika Urambo, Novemba 12, 2016
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa zamani wa Busega na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Titus
Kamani ambaye sasa ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Simiyu katika mazishi ya
Spika Mstaafu Samuel Sitta yaliyofanyika Urambo Tabora, Novemba 12, 2016. Kulia kwake ni Spika wa Bunge Job Ndugai na
kushoto kwake ni Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri
Mke wa Waziri Mkuu,
Mama Mary Majaliwa akisalimiana na baadhi
ya wanafamilia na ndugu wa marehemu Spika Mstaafu, Samuel Sitta bada ya
kuwasili nyumbani kwa marehemu Urambo mkoani Tabora kwa mazishi Novemba 12,
2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na familia ya Spika
Mstaafu marehemu Samuel Sitta baada ya mazishi yaliyofanyika Urambo Novemba 12,
2016.
0 Comments