Wasanii wa muziki, filamu pamoja na wadau mbalimbali wa burudani nchini wamejitokeza kwa wingi katika usiku huu wa Tuzo za EATV hapa Mlimani City jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye ameshawasili katika ukumbi huu kushuhudia utowaji wa tuzo hizo.Jumla ya tuzo 10 zinatarajiwa kukabidhiwa kwa wasanii wa muziki na filamu nchini usiku huu.
Jux akiwa Vanessa
Barnaba msanii wa bongo fleva
Petitman wakuach
Wahu kutoka Kenya
Joh Makini akihojia na EATV
Wakazi msanii wa hiphop
......................................................................
Kwa hisa ya mdimuz.blog
......................................................................
Kwa hisa ya mdimuz.blog







0 Comments